NDANI YA DINI YANGU
Watu wengi tuna dini zetu au kwa maana nyingine tuna mfumo wetu wa Maisha wenye miiko na sheria pia. Dini yako inaweza kuwa tofauti na y...
BASA VISION
Moja ya mijadala au maswali magum kwa kipindi hiki au kwa wakristo wote ni kwanini shetani anawasumbua?. Nami katika njozi ya usiku w...
NUHU WA KIZAZI HIKI
Ukisoma kitabu cha mwanzo 5:29 mpaka mwanzo 10:32 utakuta habari za mtu mmoja anaitwa NUHU. Huyu mwanaume aliishi katika kizazi kilic...
NANI ASIMAME AKEMEE ???.
Nami nimeuona uovu juu ya madhabahu maana dhambi ya kipindi kanisa linakuja kwasasa haikemewi tena. Nani kasema kuwa Yesu kabadilika a...
UNAWAZA NINI??
basa jpg Kabla ya kitu chochote kudhihirika kwenye ulimwengu wa mwili kiutendaji huanza kama wazo ndani ya moyo au akili ya mtu mw...
KANISA LILOPOTEA
Makanisa ni sehem nzuri sana ya kusanyiko kuonyana, kuelekezana, kufundishana na kutiana moyo katika njia ya BWANA. Lakini kanisa ...
UKITAKA NISIWE HAPA FANYA HAYA
Nilikuwa nafikria mfano wa kwamba kama majira ya kuzaliwa YESU asingekuwepo bikra je angezaliwa au angesubiria?. Ndipo nikagu...
FEEL LOVED
Napenda kupendwa na ninapenda kupenda pia nafurahia kila kitu katika maisha yangu kwasababu nakipenda kukifanya na kinanipa amani katika ...
BARAKA ZAKO ZIKUJIAPO
MUNGU ni mfano wa mwanadam uliojificha wenye sifa na maamuzi na hisia kama mwanadam uliozungukwa nautukufu pande zote. Tofauti kubwa kat...
ZABURI 32:8
ZABURI 32:8 Nitakufundisha na kukuonyesha njia utakayoiendea; Nitakushauri, jicho langu likikutazama. Huu ni msitari wa biblia ambao hu...
SOMO: HATUA ZA KUINGIA KWENYE MAOMBI----1
kuomba ni moja ya nguzo muhimu sana katika kuuendea ufalme wa mbinguni. Bali watu wengi tumekuwa tunaona maombi ni sehem ya kutimiza waji...
UBATIZO
Kwanini nibatizwe? Ubatizo upi ni sahihi kibilia?. Ni wakati upi na nani anatakiwa kubatizwa? Je, ni kabla ya kupokea wokovu au baada? Fai...
KUMPENDEZA MUNGU (PLEASING GOD)
PLEASE=cause to feel happy and satisfied (oxford 11 th edit) kwa Kiswahili ninaweza kusema inamaana ya kufanya ahisi (awe na) furaha na ...
MAMBO YA MKE MWEMA KWA MUMEWE
Leo tujifunze namna ya mke mwema anapaswa kuwa kwa mume wake! (kuwa mwanamke wa kiroho,) hii inabeba mambo yafuatayo: 1. kuwa mnyenyeke...