VITA FEKI VYA KIROHO
Kuna watu wanapigana vita vya kiroho ambavyo havina uhalisia katika ulimwengui wa kiroho. Ni vita ambavyo ukivitazama unaona kabisa...
NJIA SABA ZA KUKUSAIDIA KUIACHA DHAMBI INAYOKUSUMBUA.
BWANA YESU atukuzwe ndugu yangu. Karibu tujifunze Neno la MUNGU aliye hai. Dhambi ni kosa la kwenda kinyume na utaratibu wa MUNGU. D...
MTAZAMO WANGU
Usimkosee Mungu kwa vitu vitatu naam kwa vitu vinne hautakiwi kuikosa mbingu TUMBO MAVAZI UPAKO NDOA 1. H akuna kitu kizu...
CHURCH GIRLS AND CHURCH BOYS
Siku moja nilikuwa engineering pale SUA najisomea mara akapita msichana mmoja kavaa tisheti imeandikwa church girl. Nilishangaa kwa mda ...
NDANI YA DINI YANGU----5
MATENDO YAKE HUMTANGAZA KRISTO {kusoma utangulizi bofya hapa } "Usiangalie matendo yangu bali sikia nasema nini kwako au fua...
NDANI YA DINI YANGU---4
AMEJAZWA ROHO MTAKATIFU (KUSOMA UTANGULIZI BOFYA HAPA ) Kuna Rafiki zangu wa dhehebu Fulani Roho kwao ni stori za zama za kale s...
NDANI YA DINI YANGU---3
AMEMKIRI KRISTO NA KUBATIZWA KWA MAJI MENGI { bofya kwa utangulizi } Soma marko 16:15-17 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkai...
NDANI YA DINI YANGU ---2
INAENDELEA..... { bofya hapa kusoma sehem iliyopita } Kuna siku moja mtu mmoja aliniuliza Je BASA wewe kweli umeokoka? Nikamji...
NDANI YA DINI YANGU
Watu wengi tuna dini zetu au kwa maana nyingine tuna mfumo wetu wa Maisha wenye miiko na sheria pia. Dini yako inaweza kuwa tofauti na y...
BASA VISION
Moja ya mijadala au maswali magum kwa kipindi hiki au kwa wakristo wote ni kwanini shetani anawasumbua?. Nami katika njozi ya usiku w...
NUHU WA KIZAZI HIKI
Ukisoma kitabu cha mwanzo 5:29 mpaka mwanzo 10:32 utakuta habari za mtu mmoja anaitwa NUHU. Huyu mwanaume aliishi katika kizazi kilic...