CHURCH GIRLS AND CHURCH BOYS
Siku moja nilikuwa engineering pale SUA najisomea mara akapita msichana mmoja kavaa tisheti imeandikwa church girl. Nilishangaa kwa mda ...
NDANI YA DINI YANGU----5
MATENDO YAKE HUMTANGAZA KRISTO {kusoma utangulizi bofya hapa } "Usiangalie matendo yangu bali sikia nasema nini kwako au fua...
NDANI YA DINI YANGU---4
AMEJAZWA ROHO MTAKATIFU (KUSOMA UTANGULIZI BOFYA HAPA ) Kuna Rafiki zangu wa dhehebu Fulani Roho kwao ni stori za zama za kale s...
NDANI YA DINI YANGU---3
AMEMKIRI KRISTO NA KUBATIZWA KWA MAJI MENGI { bofya kwa utangulizi } Soma marko 16:15-17 Akawaambia, Enendeni ulimwenguni mwote, mkai...
NDANI YA DINI YANGU ---2
INAENDELEA..... { bofya hapa kusoma sehem iliyopita } Kuna siku moja mtu mmoja aliniuliza Je BASA wewe kweli umeokoka? Nikamji...
NDANI YA DINI YANGU
Watu wengi tuna dini zetu au kwa maana nyingine tuna mfumo wetu wa Maisha wenye miiko na sheria pia. Dini yako inaweza kuwa tofauti na y...
BASA VISION
Moja ya mijadala au maswali magum kwa kipindi hiki au kwa wakristo wote ni kwanini shetani anawasumbua?. Nami katika njozi ya usiku w...
NUHU WA KIZAZI HIKI
Ukisoma kitabu cha mwanzo 5:29 mpaka mwanzo 10:32 utakuta habari za mtu mmoja anaitwa NUHU. Huyu mwanaume aliishi katika kizazi kilic...
JE NI MIMI au NI BWANA??.
Kuna kipindi mkanganyiko hutokea sana pindi tu linapokuja suala la mipaka ya Bwana kutenda na wewe mwenyewe kutenda. Kuna mtu mmoja aliw...
NANI ASIMAME AKEMEE ???.
Nami nimeuona uovu juu ya madhabahu maana dhambi ya kipindi kanisa linakuja kwasasa haikemewi tena. Nani kasema kuwa Yesu kabadilika a...
UNAWAZA NINI??
basa jpg Kabla ya kitu chochote kudhihirika kwenye ulimwengu wa mwili kiutendaji huanza kama wazo ndani ya moyo au akili ya mtu mw...
SHULE YANGU NDANI YA YESU
Elimu ni bahari aka haina mwisho wahenga walisema. Tunajifunza kwaajili ya kupata uwezo wa kufikria zaidi ya hapo mwanzo au Kufikria k...
SOMO:- AINA ZA UVIVU
Kuna aina tatu za mtu mvivu kibiblia nazo ni 1. MVIVU WA KUTOANZA KUFANYA JAMBO:- huu ni uvivu namba moja kwan...