Jumamosi, 10 Desemba 2016
Jumapili, 2 Oktoba 2016
SOMO: HATUA ZA KUINGIA KWENYE MAOMBI----1
kuomba ni moja ya nguzo muhimu sana katika
kuuendea ufalme wa mbinguni. Bali watu wengi tumekuwa tunaona maombi ni sehem
ya kutimiza wajibu bali kiukweli ni sehem ya kuongea na BABA yetu ambaye kwa
imani katuzaa kupitia kifo cha mwanaye YESU KRISTO. Ili maombi yako yawe ni
manufaa kwako unaweza pitia kwanza somo la NGUVU ILIYOMO KWENYE MAOMBI ndani ya
BASA MINISTRY. Ndio uje kwenye hiki kipande cha hatua za kuingia
kwenye maombi ambazo ni:
1}KUSUDI LA MAOMBI YAKO
Watu wengi tunaamini kuomba kwa masaa mengi ndio kipimo cha maombi au maneno kuwa mengi ndio MUNGU atusikia na kutenda unaweza kuta kuwa maombi ya dakika kumi za mwanzo yamejibiwa na yale ya masaa mawili yote hayajajibiwa hata moja. Ukisoma mathayo 6:7&8 YESU alielezea vizuri sana hili jambo ingawa watu wengi hatuelewi alimaanisha nini? Bali ukweli wake siyo kwamba kutoomba kwa sauti wala kurudia jambo wakati wakati wa maombi (mathayo 26:39-44). Bali kuomba kwa mpangilio ulio mzuri na yawe na mtiririko mzuri hata mtu mwingine akisikiliza unaomba ajue unaombea nini kwa mda na umeombea vitu gani. kwahiyo kusudi la kwenda kufanya hayo maombi ni muhimu pia unaweza liandika kwenye karatasi na kuliainisha kwa vipengele kwamba nitaanza na hiki na nitaishia na hiki kipengele.
2}MAHALI
mazingira yakufanyia maombi yako ni muhimu sana kuliko unavyoweza kuwaza au kulichukulia. Ukisoma mark 6:46 unaona YESU anajitenga na wanafunzi wake ili akaombe lakini anaenda sehemu ambayo hata makutano hawawezi kumuona kwa mda huo ili akaombe tu. Pia ukisoma mark 1:35 unaweza ona YESU KRISTO anaenda sehemu isiyokuwa na watu akaombe tena alfajiri na mapema. Kwahiyo unapochagua sehem ya kufanyia maombi yako chagua iwe ni sehem ambayo hakutakuwa na ususmbufu wowote. Usumbufu ambao utakutoa kuzama kwenye maombi yako kwa mda huo.
1}KUSUDI LA MAOMBI YAKO
Watu wengi tunaamini kuomba kwa masaa mengi ndio kipimo cha maombi au maneno kuwa mengi ndio MUNGU atusikia na kutenda unaweza kuta kuwa maombi ya dakika kumi za mwanzo yamejibiwa na yale ya masaa mawili yote hayajajibiwa hata moja. Ukisoma mathayo 6:7&8 YESU alielezea vizuri sana hili jambo ingawa watu wengi hatuelewi alimaanisha nini? Bali ukweli wake siyo kwamba kutoomba kwa sauti wala kurudia jambo wakati wakati wa maombi (mathayo 26:39-44). Bali kuomba kwa mpangilio ulio mzuri na yawe na mtiririko mzuri hata mtu mwingine akisikiliza unaomba ajue unaombea nini kwa mda na umeombea vitu gani. kwahiyo kusudi la kwenda kufanya hayo maombi ni muhimu pia unaweza liandika kwenye karatasi na kuliainisha kwa vipengele kwamba nitaanza na hiki na nitaishia na hiki kipengele.
2}MAHALI
mazingira yakufanyia maombi yako ni muhimu sana kuliko unavyoweza kuwaza au kulichukulia. Ukisoma mark 6:46 unaona YESU anajitenga na wanafunzi wake ili akaombe lakini anaenda sehemu ambayo hata makutano hawawezi kumuona kwa mda huo ili akaombe tu. Pia ukisoma mark 1:35 unaweza ona YESU KRISTO anaenda sehemu isiyokuwa na watu akaombe tena alfajiri na mapema. Kwahiyo unapochagua sehem ya kufanyia maombi yako chagua iwe ni sehem ambayo hakutakuwa na ususmbufu wowote. Usumbufu ambao utakutoa kuzama kwenye maombi yako kwa mda huo.
3} MUDA WA KUOMBA
Hii imegawanyika mara
mbili
- KUNA MDA WA KUKAA KWENYE MAOMBI hapa ninachoongelea ni kwa mda gani utakaa kwenye maombi yako. Ukisoma mathayo 26:39-44 kwenye msitari wa 40 utaona YESU anauliza Je! Hamkuweza kukesha pamoja nami hata saa moja?. Kwamaana nyingine mda ambao YESU aliuona unawafaa hawa watu kukaa kwenye maombi kwa uchache ni saa moja. Je wewe kwenye maombi yako unakaa kwa mda gani rafiki na ndugu yangu katika IMANI?. Mimi nakushauri fanya mda kidogo zaidi ya wewe kukaa kwenye maombi uwe ni dakika 30 lakini usikae hapo ukalizika nenda mpaka ufikie angalau masaa mawili kwenye maombi yako.
- MDA WA KUINGIA KWENYE MAOMBI YAKO. Muda wa kuingia kwenye maombi hakikisha ni muda ambao wewe umemaliza kazi zako au uko huru inamaana hakuna wazo lakuingilia maombi yako akili yako yote iwe kwenye hayo maombi na siyo uwe na nia mbili [double minded]. Kuna mda ambao kibiblia unasiri kubwa ukiufuata nao ni
- ALFAJIRI=mda huu unasiri ya jinsi ya kipekee sana kwasababu ni muda pekee ambao daudi aliamsha utukufu wa BWANA juu yake zaburi 57:7—9. Pia Ayubu alikuwa anawatakasa wanaye asubuhi na mapema ayubu 1:5. Natamani nawewe uanze kuutumia huu mda kwaajili ya kuumba siku yako unayoiendea kwako na kwa familia yako yote.
- Saa tatu
- Saa sita
- Saa tisa
- JIONI AU MDA WA KUPUNGA JUA= huu ni mda wa ibaada ya shukrani kwa mda wa siku nzima ambao BWANA amekufanikisha. Pia ni mda wako mzuri wa kutafakari mambo yote aliyokutendea BWANA pia ni mda wa wewe kujitafakari umefanya nini kuhusu BWANA?. Kujitafakari ni njia nzuri zaidi ya kujipanga kwaajili ya BWANA juu ya siku ijayo ppia kuungama kwaajili ya makosa ambayo hukuyatambua mda wote wa mchana.
Lakini kumbuka
unapochagua mda wa kuingia na kukaa kukaa kwenye maombi hakikisha kuwa ni mda
ambao unakuweka katika hali ya msawazo[relaxation] wa kiakili na mwili ili uweze kujitoa katika
Roho na kuzama kwa kumwita BWANA kwenye roho yako
Mtum: Prop: Mwalim: MICHAEL BASA
Jumapili, 4 Septemba 2016
UBATIZO WA WATOTO WADOGO
KUTOKEA KWENYE SOMO LETU LA UBATIZO{kulisoma bofya hapa} Taratibu za kubatiza watoto kwa kunyunyizia maji zilianza mwishoni mwa karne ya 2 B.K, lakini hazikupata ukubali wa wengi mpaka miaka ya 354-430 B.K. Hapo ndipo watu walioasi walipoanza kufundisha kuwa watoto wanarithi dhambi za Adam na Hawa na kwa hivyo wanazaliwa wakiwa na dhambi ya asili na hivyo wanapaswa kubatizwa baada ya kuzaliwa.
Hayo Yalikuwa Ni Mawazo Yao Waliyotunga Na Siyo Fundisho La Biblia.
BIBLIA iNASEMA WATOTO WANAPASWA KUBARIKIWA NA SIYO KUBATIZWA, BIBLIA INASEMA.
"Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea. Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao.Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa.Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabarikia."(Marko 10:13-16).
KUNA HATUA AMBAZO INABIDI MTU AZIPITIE KABLA YA KUBATIZWA..
HATUA YA KWANZA.
Kabla ya kubatizwa lazima mtu mwenyewe bila kulazimishwa Aamini. Biblia Inasema. "Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, Tazama, maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? [Filipo akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, inawezekana. Akajibu, akanena, Naamini ya kwamba Yesu Kristo ndiye Mwana wa Mungu.]
Akaamuru lile gari lisimame; wakatelemka wote wawili majini, Filipo na yule towashi; naye akambatiza." (Matendo 8:36-38). Tena hapa anayebatizwa aliamini mwenyewe, Tena hakuna aliyesema kwa niaba yake.
HATUA YA PILI.
Mtu mwenyewe anatakiwa atubu dhambi zake, Tena kutubu dhambi, sharti kuwepo kujutia dhambi yako. Biblia Inasema. "Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu? Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu." (Matendo 2:37-38).
SASA TUMEONA KUWA KABLA MTOTO HAJABATIZWA SHARTI AAMINI KWA MOYO WAKE WOTE.Maswali ya Kujiuliza:-
1. watoto wanaamini wenyewe Tena Moyo wote ? Au wanaaminishwa?
2. Je kitoto kichanga ambacho hakiongei kinaweza kuamini?
3. Lakini hatua ya pili Sharti mtoto atubu. Swali Je mtoto mdogo, kichanga kinaweza kutubu?
4. Mtoto mdogo anaweza kujutia dhambi yake?
Yawezekana unapanga kumbatiza mtoto wako ubatizo wa kunyunyizia, Yawezekana ulibatizwa ubatizo wa kunyunyizia Tena ukiwa mtoto bila hiari yako, Tena Yawezekana umekuta una cheti cha ubatizo Lakini ulipobatizwa haukumbuki. Rafiki yangu nataka nikuambie kuwa huo ni uongo wa Shetani, ulio kinyume na Maandiko, maana kazi ya Ibilisi ni kuudanganya ulimwenguni. Biblia Inasema "Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote." (Ufunuo 12:9).
Mpokee Yesu na Kubatizwa ubatizo sahihi wa biblia Tena wa KUZAMISHWA NDANI YA MAJI MENGI , Tena iwe ni baada ya kuamini Bila kuaminishwa.
Hayo Yalikuwa Ni Mawazo Yao Waliyotunga Na Siyo Fundisho La Biblia.
BIBLIA iNASEMA WATOTO WANAPASWA KUBARIKIWA NA SIYO KUBATIZWA, BIBLIA INASEMA.
"Basi wakamletea watoto wadogo ili awaguse; wanafunzi wake wakawakemea. Ila Yesu alipoona alichukizwa sana, akawaambia, Waacheni watoto wadogo waje kwangu, msiwazuie; kwa maana watoto kama hawa ufalme wa Mungu ni wao.Amin, nawaambieni, Ye yote asiyeukubali ufalme wa Mungu kama mtoto mdogo hatauingia kabisa.Akawakumbatia, akaweka mikono yake juu yao, akawabarikia."(Marko 10:13-16).
KUNA HATUA AMBAZO INABIDI MTU AZIPITIE KABLA YA KUBATIZWA..
HATUA YA KWANZA.
Kabla ya kubatizwa lazima mtu mwenyewe bila kulazimishwa Aamini. Biblia Inasema. "Wakawa wakiendelea njiani, wakafika mahali penye maji; yule towashi akasema, Tazama, maji haya; ni nini kinachonizuia nisibatizwe? [Filipo akasema, Ukiamini kwa moyo wako wote, inawezekana. Akajibu, akanena, Naamini ya kwamba Yesu Kristo ndiye Mwana wa Mungu.]
Akaamuru lile gari lisimame; wakatelemka wote wawili majini, Filipo na yule towashi; naye akambatiza." (Matendo 8:36-38). Tena hapa anayebatizwa aliamini mwenyewe, Tena hakuna aliyesema kwa niaba yake.
HATUA YA PILI.
Mtu mwenyewe anatakiwa atubu dhambi zake, Tena kutubu dhambi, sharti kuwepo kujutia dhambi yako. Biblia Inasema. "Walipoyasikia haya wakachomwa mioyo yao, wakamwambia Petro na mitume wengine, Tutendeje, ndugu zetu? Petro akawaambia, Tubuni mkabatizwe kila mmoja kwa jina lake Yesu Kristo, mpate ondoleo la dhambi zenu, nanyi mtapokea kipawa cha Roho Mtakatifu." (Matendo 2:37-38).
SASA TUMEONA KUWA KABLA MTOTO HAJABATIZWA SHARTI AAMINI KWA MOYO WAKE WOTE.Maswali ya Kujiuliza:-
1. watoto wanaamini wenyewe Tena Moyo wote ? Au wanaaminishwa?
2. Je kitoto kichanga ambacho hakiongei kinaweza kuamini?
3. Lakini hatua ya pili Sharti mtoto atubu. Swali Je mtoto mdogo, kichanga kinaweza kutubu?
4. Mtoto mdogo anaweza kujutia dhambi yake?
Yawezekana unapanga kumbatiza mtoto wako ubatizo wa kunyunyizia, Yawezekana ulibatizwa ubatizo wa kunyunyizia Tena ukiwa mtoto bila hiari yako, Tena Yawezekana umekuta una cheti cha ubatizo Lakini ulipobatizwa haukumbuki. Rafiki yangu nataka nikuambie kuwa huo ni uongo wa Shetani, ulio kinyume na Maandiko, maana kazi ya Ibilisi ni kuudanganya ulimwenguni. Biblia Inasema "Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote." (Ufunuo 12:9).
Mpokee Yesu na Kubatizwa ubatizo sahihi wa biblia Tena wa KUZAMISHWA NDANI YA MAJI MENGI , Tena iwe ni baada ya kuamini Bila kuaminishwa.
Jumatano, 31 Agosti 2016
UBATIZO
Kwanini nibatizwe? Ubatizo upi ni sahihi kibilia?. Ni wakati upi na nani anatakiwa kubatizwa? Je, ni kabla ya kupokea wokovu au baada? Faida zake ni zipi? .
Kwanza kabisa; kuna batizo zitokazo kwa wanadamu na pia upo ubatizo unaotoka kwa Mungu. Tunajua hili kutokana na Yesu alipowauliza makuhani na wazee wa Israel kwa Kusema “Nitawauliza neno moja, nanyi mnijibu, kisha nitawaambia ni kwa mamlaka gani nayatenda haya. Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni” (Mk.11:30-32).
Kutoka hapo tunajuwa kumbe ubatizo ule wa Yohana ulitoka Mbinguni. Pia kabla ya Yohana Mbatizaji, kulikuwa na aina mbalimbali za batizo ambazo hazikuwa kama ubatizo wa yohana. Hii ni kutokana na swali ambalo watu kadhaa waliulizwa na mtume Paulo kwa kusema “Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana” (matendo,19:3). Hivyo kutoka hapo pia tunajua kumbe hata wakati wa mitume kulikuwa na batizo aina mbalimbali zilizoletwa na wanadamu
Kabla Yesu hajaondoka duniani, naye alikuwa anabatiza watu kupitia wanafunzi wake. Na aina ya Ubatizo aliokuwa anautumia ulikuwa ni ule uliotoka Mbinguni ulioletwa kwa mkono wa Yohana. Kama ilivyoandikwa “Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi; akashinda huko pamoja nao, akabatiza” (yoh.3:22,10:40). Na huu ndiyo ubatizo sahihi kibibilia ambao Yesu aliowaachia wanafunzi wake mpaka leo.
Sasa Ubatizo wa Maji Mengi huu wa Yohana Mbatizaji Mungu ameuweka ili kwa Njia hiyo nawewe ushiriki kifo cha Yesu kwa kufa pamoja naye na kufufuka pamoja naye kwa njia ya kuzamishwa na kuinuliwa katika maji. Kama ilivyoandikwa “sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake” na tena “tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima”. na tena “Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye” (Rum.6:3-6, Col.2:12). Hivyo tunaona kumbe unapobatizwa, mambo halisi hufanyika wala sio ishara tu.
Siku unayo-batizwa kwa maji mengi ndiyo siku ambayo 1) unakufa pamoja na Kristo msalabani. 2) unafufuka pamoja na Yesu mautini. 3). Unapokea Uwezo wa kuenenda katika hali ya “upya wa uzima” alionao Yesu sasa. 4) unakuwa umetimiza haki yote. Maana imeandikwa “mshahara wa dhambi ni mauti”. Na kwasabu wewe hapo mwanzo ulikuwa mdhambi… Unahukumiwa mauti pamoja na Yesu kwa njia ya msalaba na mauti yake. Hivyo hutahukumiwa mauti ile siku ya kuuhukumu ulimwengu wote (yohana.5:24)
Tunajuwa kuwa Yesu aliposulubiwa msalabani hakufa muda uleule; bali alisulubiwa saa tatu lakini akafa saa tisa (Mk. 15:24,34). Vivyohivyo Kuokoka maana Yake ni kuzaliwa mala ya pili kunako ambatana na kupokea utakaso wa dhambi zote na kunyweshwa ua kumpokea Roho Mtakatifu ndani yako aishi nawe milele. Na kwasababu hiyo wewe unakuwa kiumbe Kipya uliye Mwana wa Mungu, uliye mtakatifu na uzima wa Milele unakuwa ndani yako. Kama ilivyoandikwa “alituokoa;…, kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa mara ya pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu”, na tena “Yeye aliye naye Mwana, anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima “(tito.3:4-7, 1yoh.5:12).
Kwahiyo mtu huyu alie-okoka anakuwa amezaliwa mara ya pili na amesulubiwa msalabani pasipo kuzikwa utu wake wa kale na kufufuka pamoja na Yesu. Kama ilivyoandikwa “hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake” (gal.5:24). Hivyo utu wake wa kale unakuwa bado haujazikwa, kwasababu utu wa kale huzikwa katika ubatizo wa maji mengi.Kwahiyo kama hujabatizwa atakuwa kwenye vita kali daima kati ya roho yako na mwili wako mpaka pale atakapouzika huo utu wako katika ubatizo.
Hivyo haijalishi wewe umeokoka miaka mingi kiasi gani. Lakini pasipo ubatizo wa maji Mengi bado haujakamilika. Hauja-itimiza haki yote. Kwani kumbukumbu za wewe kufa na kufufuka pamoja na Kristo hazipo mbele za Mungu mpaka utakapo kubali kubatizwa kwa ubatizo wa Maji mengi. Usitegemee ubatizo wa kunyunyizia kichwani kwani kwa huo haiwezekani kushiriki mauti na ufufuo wa Yesu Kristo. Kama inavyosema “Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye”.
Siku unayobatizwa ndiyo siku unayozika utu wako wa kale na kuhukumiwa mauti pamoja na Yesu msalabani ili siku ile ya hukumu usije ukahukumiwa mauti kama wengine ambao wao watahukumiwa mauti. Maana imeandikwa “tumehukumu hivi, ya kwamba mmoja alikufa kwa ajili ya wote, basi walikufa wote” (2Kor.5:14). Kwahiyo huo ubatizo wa Kuzamishwa kwenye maji ni ili uunganishwe na Yesu katika mauti na uzima wake. Ukibatizwa unafanya “final separation from the world”.
Mtu anatakiwa kubatizwa baada ya kupokea wokovu kwanza na sio kabla ya kuamini (Mk.16:16). Maana sababu nyingine ya kubatizwa ni matokeo ya utii yathibitishayo kuwa dhamiri zako zimefanywa upya. Kama ilivyoandikwa “ubatizo, unaowaokoa ninyi pia siku hizi; .., jibu la dhamiri safi mbele za Mungu, kwa kufufuka kwake Yesu Kristo” (1pet.3:21). Sasa jibu la dhamiri haliwezi kuwepo kwa mtoto mchanga kimwili, kwasababu mtu anapo-okoka (born again) ndipo anatakaswa dhamiri zake na kuanza kuzichukia dhambi alizokuwa anazitenda kabla, na roho yake huanza kuumia akiziona dhambi (ebr.9:14, 2pet.2:8)
“utashiriki vipi mauti ya Mwanangu Yesu kwa kunyunyiziwa maji kichwani? Niambie, Je, kwa kunyunyiziwa maji utatimizaje neno langu lisemalo “Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye”?. “kama vile ambavyo haikuwezekana Mwanangu afe bila kwenda ndani ya nchi chini; vivyohivyo nawewe haiwezekani kushiriki mauti ya Mwanangu pasipo kwenda ndani ya maji”. kwa kubatizwa Yesu ndani ya maji, akatia mhuri na kutangaza mauti na ufufuo wake jinsi utakavyokuwa. Hivyo nawewe imekupasa kuenenda kwa jinsi hiyohiyo.
Laana na magonjwa ya kurithi hukaa na hupata kibali kutokana na wewe kuwa na utu wa kale. Lakini unapobatizwa hayo yote huzikwa na hayawi na mamlaka tena kwani unakuwa “katika upya wa uzima” (rum.6:4). Baada ya kuokoka nilikuwa nabisha sana. Hadi Mungu mwenyewe aliposema na mimi. Na baaada ya kufunuliwa tu bila kuchelewa nilienda nikabatizwa kwa maji mengi. Hivyo hata wewe unaweza ukaenda ukabatizwa bila kuhama hilo dhehebu lako. Nenda Kabatizwe usifungwe na udhehebu ukakosa ufalme.
Sio dhambi, na sio ukosefu wa imani kuamua kubatizwa kwa mala nyingine kama ukigundua ubatizo wa kwanza huakuwa kama neno linavyotaka. Hata mimi nilitumia hoja kama hiyo kukataa kubatizwa kwa maji mengi kwa kusema “nilibatizwa tayari tangu mtoto”. Lakini Bwana akasema “mbona kwenye Matendo 19:2-5 mtume Paulo aliwabatiza mala ya pili watu kadhaa waliokuwa wamebatizwa na yohana mbatizaji?”.
Hautakiwi kubatizwa kama hujapokea wokovu kwanza. Kibiblia mtu haokoki kwa kubatizwa kwa maji. Unapokea wokovu kwanza ndipo unaenda kubatizwa. Mtu asikudanganye kwa kusema siku unayobatizwa ndiyo unayozaliwa mala ya pili- Huo ni uongo. Ukibatizwa kabla ya wokovu ni sawa na mtu anae-oga tu.
Kama kweli wewe ni mteule wa Mungu; Jambo hili la ubatizo hutakuwa na amani nalo mpaka utakapokubali na kutii kwa kwenda kubatizwa. Ndipo moyo wako utakapotulia. Maana Mungu hawezi kumtumia mtu “to the full” kama bado hujabatizwa. Yesu anasema “Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu”(Yohana.3:5). AMINA.
Kwanza kabisa; kuna batizo zitokazo kwa wanadamu na pia upo ubatizo unaotoka kwa Mungu. Tunajua hili kutokana na Yesu alipowauliza makuhani na wazee wa Israel kwa Kusema “Nitawauliza neno moja, nanyi mnijibu, kisha nitawaambia ni kwa mamlaka gani nayatenda haya. Ubatizo wa Yohana ulitoka mbinguni, au kwa wanadamu? Nijibuni” (Mk.11:30-32).
Kutoka hapo tunajuwa kumbe ubatizo ule wa Yohana ulitoka Mbinguni. Pia kabla ya Yohana Mbatizaji, kulikuwa na aina mbalimbali za batizo ambazo hazikuwa kama ubatizo wa yohana. Hii ni kutokana na swali ambalo watu kadhaa waliulizwa na mtume Paulo kwa kusema “Basi mlibatizwa kwa ubatizo gani? Wakasema, Kwa ubatizo wa Yohana” (matendo,19:3). Hivyo kutoka hapo pia tunajua kumbe hata wakati wa mitume kulikuwa na batizo aina mbalimbali zilizoletwa na wanadamu
Kabla Yesu hajaondoka duniani, naye alikuwa anabatiza watu kupitia wanafunzi wake. Na aina ya Ubatizo aliokuwa anautumia ulikuwa ni ule uliotoka Mbinguni ulioletwa kwa mkono wa Yohana. Kama ilivyoandikwa “Baada ya hayo Yesu na wanafunzi wake walikwenda mpaka nchi ya Uyahudi; akashinda huko pamoja nao, akabatiza” (yoh.3:22,10:40). Na huu ndiyo ubatizo sahihi kibibilia ambao Yesu aliowaachia wanafunzi wake mpaka leo.
Sasa Ubatizo wa Maji Mengi huu wa Yohana Mbatizaji Mungu ameuweka ili kwa Njia hiyo nawewe ushiriki kifo cha Yesu kwa kufa pamoja naye na kufufuka pamoja naye kwa njia ya kuzamishwa na kuinuliwa katika maji. Kama ilivyoandikwa “sisi sote tuliobatizwa katika Kristo Yesu tulibatizwa katika mauti yake” na tena “tulizikwa pamoja naye kwa njia ya ubatizo katika mauti yake, kusudi kama Kristo alivyofufuka katika wafu kwa njia ya utukufu wa Baba, vivyo hivyo na sisi tuenende katika upya wa uzima”. na tena “Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye” (Rum.6:3-6, Col.2:12). Hivyo tunaona kumbe unapobatizwa, mambo halisi hufanyika wala sio ishara tu.
Siku unayo-batizwa kwa maji mengi ndiyo siku ambayo 1) unakufa pamoja na Kristo msalabani. 2) unafufuka pamoja na Yesu mautini. 3). Unapokea Uwezo wa kuenenda katika hali ya “upya wa uzima” alionao Yesu sasa. 4) unakuwa umetimiza haki yote. Maana imeandikwa “mshahara wa dhambi ni mauti”. Na kwasabu wewe hapo mwanzo ulikuwa mdhambi… Unahukumiwa mauti pamoja na Yesu kwa njia ya msalaba na mauti yake. Hivyo hutahukumiwa mauti ile siku ya kuuhukumu ulimwengu wote (yohana.5:24)
Tunajuwa kuwa Yesu aliposulubiwa msalabani hakufa muda uleule; bali alisulubiwa saa tatu lakini akafa saa tisa (Mk. 15:24,34). Vivyohivyo Kuokoka maana Yake ni kuzaliwa mala ya pili kunako ambatana na kupokea utakaso wa dhambi zote na kunyweshwa ua kumpokea Roho Mtakatifu ndani yako aishi nawe milele. Na kwasababu hiyo wewe unakuwa kiumbe Kipya uliye Mwana wa Mungu, uliye mtakatifu na uzima wa Milele unakuwa ndani yako. Kama ilivyoandikwa “alituokoa;…, kwa kuoshwa kwa kuzaliwa kwa mara ya pili na kufanywa upya na Roho Mtakatifu”, na tena “Yeye aliye naye Mwana, anao huo uzima; asiye naye Mwana wa Mungu hana huo uzima “(tito.3:4-7, 1yoh.5:12).
Kwahiyo mtu huyu alie-okoka anakuwa amezaliwa mara ya pili na amesulubiwa msalabani pasipo kuzikwa utu wake wa kale na kufufuka pamoja na Yesu. Kama ilivyoandikwa “hao walio wa Kristo Yesu wameusulibisha mwili pamoja na mawazo yake mabaya na tamaa zake” (gal.5:24). Hivyo utu wake wa kale unakuwa bado haujazikwa, kwasababu utu wa kale huzikwa katika ubatizo wa maji mengi.Kwahiyo kama hujabatizwa atakuwa kwenye vita kali daima kati ya roho yako na mwili wako mpaka pale atakapouzika huo utu wako katika ubatizo.
Hivyo haijalishi wewe umeokoka miaka mingi kiasi gani. Lakini pasipo ubatizo wa maji Mengi bado haujakamilika. Hauja-itimiza haki yote. Kwani kumbukumbu za wewe kufa na kufufuka pamoja na Kristo hazipo mbele za Mungu mpaka utakapo kubali kubatizwa kwa ubatizo wa Maji mengi. Usitegemee ubatizo wa kunyunyizia kichwani kwani kwa huo haiwezekani kushiriki mauti na ufufuo wa Yesu Kristo. Kama inavyosema “Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye”.
Siku unayobatizwa ndiyo siku unayozika utu wako wa kale na kuhukumiwa mauti pamoja na Yesu msalabani ili siku ile ya hukumu usije ukahukumiwa mauti kama wengine ambao wao watahukumiwa mauti. Maana imeandikwa “tumehukumu hivi, ya kwamba mmoja alikufa kwa ajili ya wote, basi walikufa wote” (2Kor.5:14). Kwahiyo huo ubatizo wa Kuzamishwa kwenye maji ni ili uunganishwe na Yesu katika mauti na uzima wake. Ukibatizwa unafanya “final separation from the world”.
Mtu anatakiwa kubatizwa baada ya kupokea wokovu kwanza na sio kabla ya kuamini (Mk.16:16). Maana sababu nyingine ya kubatizwa ni matokeo ya utii yathibitishayo kuwa dhamiri zako zimefanywa upya. Kama ilivyoandikwa “ubatizo, unaowaokoa ninyi pia siku hizi; .., jibu la dhamiri safi mbele za Mungu, kwa kufufuka kwake Yesu Kristo” (1pet.3:21). Sasa jibu la dhamiri haliwezi kuwepo kwa mtoto mchanga kimwili, kwasababu mtu anapo-okoka (born again) ndipo anatakaswa dhamiri zake na kuanza kuzichukia dhambi alizokuwa anazitenda kabla, na roho yake huanza kuumia akiziona dhambi (ebr.9:14, 2pet.2:8)
“utashiriki vipi mauti ya Mwanangu Yesu kwa kunyunyiziwa maji kichwani? Niambie, Je, kwa kunyunyiziwa maji utatimizaje neno langu lisemalo “Mkazikwa pamoja naye katika ubatizo; na katika huo mkafufuliwa pamoja naye”?. “kama vile ambavyo haikuwezekana Mwanangu afe bila kwenda ndani ya nchi chini; vivyohivyo nawewe haiwezekani kushiriki mauti ya Mwanangu pasipo kwenda ndani ya maji”. kwa kubatizwa Yesu ndani ya maji, akatia mhuri na kutangaza mauti na ufufuo wake jinsi utakavyokuwa. Hivyo nawewe imekupasa kuenenda kwa jinsi hiyohiyo.
Laana na magonjwa ya kurithi hukaa na hupata kibali kutokana na wewe kuwa na utu wa kale. Lakini unapobatizwa hayo yote huzikwa na hayawi na mamlaka tena kwani unakuwa “katika upya wa uzima” (rum.6:4). Baada ya kuokoka nilikuwa nabisha sana. Hadi Mungu mwenyewe aliposema na mimi. Na baaada ya kufunuliwa tu bila kuchelewa nilienda nikabatizwa kwa maji mengi. Hivyo hata wewe unaweza ukaenda ukabatizwa bila kuhama hilo dhehebu lako. Nenda Kabatizwe usifungwe na udhehebu ukakosa ufalme.
Sio dhambi, na sio ukosefu wa imani kuamua kubatizwa kwa mala nyingine kama ukigundua ubatizo wa kwanza huakuwa kama neno linavyotaka. Hata mimi nilitumia hoja kama hiyo kukataa kubatizwa kwa maji mengi kwa kusema “nilibatizwa tayari tangu mtoto”. Lakini Bwana akasema “mbona kwenye Matendo 19:2-5 mtume Paulo aliwabatiza mala ya pili watu kadhaa waliokuwa wamebatizwa na yohana mbatizaji?”.
Hautakiwi kubatizwa kama hujapokea wokovu kwanza. Kibiblia mtu haokoki kwa kubatizwa kwa maji. Unapokea wokovu kwanza ndipo unaenda kubatizwa. Mtu asikudanganye kwa kusema siku unayobatizwa ndiyo unayozaliwa mala ya pili- Huo ni uongo. Ukibatizwa kabla ya wokovu ni sawa na mtu anae-oga tu.
Kama kweli wewe ni mteule wa Mungu; Jambo hili la ubatizo hutakuwa na amani nalo mpaka utakapokubali na kutii kwa kwenda kubatizwa. Ndipo moyo wako utakapotulia. Maana Mungu hawezi kumtumia mtu “to the full” kama bado hujabatizwa. Yesu anasema “Amin, amin, nakuambia, Mtu asipozaliwa kwa maji na kwa Roho, hawezi kuuingia ufalme wa Mungu”(Yohana.3:5). AMINA.
Mwandishi: NZUNDA Ibrahim (0754 210 627)
Jumamosi, 27 Agosti 2016
MWONGO NI NANI?
Imeandikwa “Je, mwongo ni nani? Mwongo ni mtu yule asemaye kwamba Yesu si Kristo. Mtu wa namna hiyo ndiye MPINGA KRISTO, yaani, yeye humkana Baba na Mwana. Hakuna yeyote amkanaye Mwana aliye na Baba.” (1yohana.2:22-23). Pia Kristo anasema “Mimi ndimi njia na kweli na uzima. Mtu hawezi kuja kwa Baba isipokuwa kwa kupitia Kwangu” (Yohana.14:6). Kwahiyo njia ni moja tu, na imani ni moja tu, yaani Yesu basi. Njia nyingine zote ni za upotevuni (njia pana).
Hii pia ni kwa kila mtu anaetumia majina mengine ili kupata msamaha wa dhambi kutoka kwa Mungu. Yesu anasema “Nanyi mkiomba lo lote kwa Jina Langu, hilo nitalifanya, ili Baba apate kutukuzwa katika Mwana. Kama mkiniomba lo lote kwa Jina Langu nitalifanya” (Yohana.14:13-14, 15:16, 16:23-28) Pia imesisitizwa kuwa; “kama mtu yeyote akitenda dhambi, tunaye Mwombezi kwa Baba, Yesu Kristo Mwenye haki. Yeye ndiye dhabihu ya upatanisho kwa ajili ya dhambi zetu, wala si kwa ajili ya dhambi zetu tu, bali pia kwa ajili ya dhambi za ulimwengu wote” (1yohana.2:1-2).
Hatuna dhabihu wala mwenye haki zaidi ya Yesu kwahiyo nikisema “Mt. Petro au Maria utuombee sisi wakosefu” badala ya “Yesu utuombee sisi wakosefu”; ninakuwa nimepotea kabisa na hiyo ni ibada ya mizimu, kwani wapagani wote hutegemea wafu badala ya Yesu aliye hai.(Isaya.8:19). Sisi ni makuhani(ufunuo.1.5-6), na Kristo ndiye Kuhani wetu Mkuu(waebrania.5.1-10). Sasa ni upotevu ulioje kwa kuhani kumwacha kuhani Mkuu aliye hai na kwenda kwa wafu?
Pia wote wanaosema “hakuna wokovu duniani” wanatenda dhambi ya kumfanya Mungu mwongo na kwamba hakumleta mwanae ili atuokoe (1yohana.5:9-10). Imeandikwa “tazama,wakati uliokubalika ndiyo sasa; tazama siku ya wokovu ni sasa” (2korintho.6:2) Vile vile; Dini au dhehebu au mtu yeyote anaehubiri injili nyingine zaidi ya injili ya Kristo, yeye amelaaniwa kabisa (wagalatia.1:8-9, 1korintho.16:22).
Ndio maana Mungu alisema “Enendeni ulimwenguni mwote, mkaihubiri Injili kwa kila kiumbe. Yeyote aaminiye na kubatizwa ataokoka. Lakini ye yote asiyeamini atahukumiwa.”(Marko.16:15). Kwahiyo kila mwanfunzi wa Kristo lazima ahubiri injili hata kwa matendo inatosha… la sivyo mtu huyo anachangia kupoteza wenzake.
Mwandishi: IBRAHIM J. NZUNDA 0754 210 627
Jumatano, 17 Agosti 2016
AINA ZA WAKRISTO NA TABIA ZAO
WAKRISTO
Ni wafuasi au watu wanaomilikiwa na kristo Yesu ,yani wako ndani ya utawala
wake,na kwa Mara ya kwanza neno wakristo lilitamkwa Antiokia LAKINI hapo kwanza likiitwa kanisa/watakatifu
matendo 11:26 ……Na
wanafunzi waliitwa Wakristo kwanza hapo Antiokia
yohana.
15:4
AINA ZA
WAKRISTO
Zipo
aina tatu za wakristo nazo ni
1.WA
MWILINI 2.WACHANGA 3.WA ROHONI
TUANGALIE KWA UNDANI TUNAWEZA
KUJIFUNZA KITU
1.WAKRISTO WA MWILINI
Hawa ni wale waliookoka siku nyingi lakini
maisha yao hayabadiliki kutokana na
uvivu wa kujifunza waebrania 5:11-12
Huyu
hata ukimhimiza kujifunza atakwambia"nilishayajua
kabla hujazaliwa" lakini mtu mwwenye safari wa mbinguni hawezi kuwa
hivyoo maaana hawezi kummaliza kumjua MUNGU wa kweli.
*SIFA ZAO*
1,anakuwa
na sura mbili ya kanisani (utakatifu)na ya mitaani (kawaida) Tito 1:16
2,akikaa
na watu wasio mjua Yesu ni vigum kumtofautisha 2timotheo 2:15
3,huona
aibu kujitambulisha kama ameokoka luka
22:54-60
4,ni mtu
wa mizahaa
5,wakitukanwa
hujirudishia
6,wepesi
kukasirika wakolosai 3:8
7,hujisifu
kwa miaka mingi walivyokaa wokovuni
8,hawapend
kukemewa/ kuonywa wakikosea warumi 15:14, 1korintho 4:14,wakolosai 3:16
9,waongo
sana mith 26;19
10,ni
kikwazo kwa wanaotaka kuokoka
2.WAKRISTO WACHANGA
Hawa ni wale walio amin hiv karibun, hawa
hupaswa kupewa maziwa yasiyoghoshiwa ili waukulie wokovu 1petro 2:1-2
*SIFA ZAO*
1,uwezo
wa kupambanua JEMA na baya ni mdogo
2,chakula
kigum hawakiwezi wanahitaj zaid kufundishwa kuhusu Yesu
3,hawana
uwezo wa kujua kama majaribu ni kipimo cha imani (1korintho 3:1-2)
4,hawakosekani
kukutwa na utu wa kale
5,hupenda
kupewa kipaumbele na kutendewa
6,wokovu
ni faida yake lkn hupenda kubembelezwa
7,kusoma
neno na kuomba ni mpaka wakumbushwe
3.WAKRISTO WA ROHONI
Hawa ni wakristo waliomwamini Yesu na
hudum katika neno la MUNGU, likabadili maisha YAO nao wakafananana neno (Yesu) yohana
1:1-5 matendo 9:19-22
*SIFA ZAO*
1,Hujulikana
kabla hawajajitambulisha yohana 19:38-42
2,Hakuna
wanachokilinda zaidi ufunuo 2:25 mithal.
4:23 yuda 1:3
3.Hakuna
mzaha kwao zabur 1:1-6
4,ni waaminifu
katika yote
5,hawana
roho ya kusengenya wala kunung'unika wafilipi
2:14
6,hutoa
kipaumbele kwa mambo ya MUNGU mathayo 6:33
7,huzaa
matunda maana ndio kusudi la kuitwa kwao
mathayo 13:23
8,huongozwa
na ROHO na wala hawamuhuzunishi warumi
8:14 Galatia 5:16-26
9,biblia(neno)ni
rafiki yao MKUU zabur 119:11
10,ni
watetezi wa IMANI yao yuda 1:20 1petro
1:5-8
Yaani ukiona kuna maswali yanahusu imani
yako na kuyajibu huwezi hadi aje mchungaji wako basi huna uwezo kwa nafasi hiyo matendo 4:18-21 Marko. 5:25-32
Nategemea
umejijua kuwa upo kundi gani kama la kwanza piga hatua ufike la tatu kama ni la
pil pia piga hatua kufika la tatu tunaujua
kuwa kuna wali umepikwa kwa harufu yake maana wali unatabia ya kusambaza harufu
JICHUNGUZE TABIA ZAKO NA MUNGU
AKUBARIKI
MWALIM DENISY 0759735473&0658316011
Mhariri Michael BASA 0765279698,+255789799
Jumapili, 14 Agosti 2016
KUMPENDEZA MUNGU (PLEASING GOD)
PLEASE=cause
to feel happy and satisfied (oxford 11th edit) kwa Kiswahili
ninaweza kusema inamaana ya kufanya ahisi (awe na) furaha na kujitosheleza.
Kumbe kumpendeza MUNGU inatakiwa umfanye MUNGU awe na furaha na kujitosheleza.
Kwa hiyo mtu akiamua kumtumikia MUNGU inatakiwa kujitoa kwa mwili wake ili iwe
dhabihu ya kumfanya MUNGU awe na furaha na wewe na aridhike na kile
unachokitenda ndani ya mwili wako (jumba la roho/ROHO) warumi 12:1-2. Somo la
mwili linapatikana tayari pitia hapa kulisoma
na ia somo la utatu wa binaadam pitia hapa kulisoma ili kujua kwanini
MUNGU alikupata mwili na katika warumi 12 anasisitiza kuitoa miili yetu kama
dhabihu iliyo hai. Ili kujua maana ya dhabihu pia pitia hapa kuiona na kwa upande
wa kafara pia bofya hapa kulisoma. Katika smo leo tutajikita kwenye roho/ROHO
ikiwa ndani ya mwili na jinsi MUNGU anavyotaka kutokea hapo.
JE
MATENDO YAPI AMBAYO ROHO NDANI YA MWILI IKITENDA HUMPENDEZA MUNGU??
Bila
utumishi uliotukuka mbele za BWANA wetu kamwe hatuwezi kumendeza MUNGU maana
mtu akiuhurumia mwili wake hawezi kujitoa kwa ajili ya MUNGU. Roho wa MUNGU
anataka wewe ufunge kwa ajili ya BWANA halafu wewe katika maisha yako yote
haujawahi kufunga kwahiyo cha kwanza kufikria ni mwili kukosa chakula chako cha
kila siku. Na ndip shetani atakukumbusha juwa juna vidonda vya tumbo.
Ndio maana
inatakiwa kuona mwili kama vazi ambalo MUNGU kakupa ili umtumikie na siyo
ushindwe kwaajili ya vazi maana yeye mwili wako umejaa uharibifu na nia yake ni
uadi juu ya MUNGU. Kwa hiyo mtu akiacha kula kwaajili ya MUNGU huyo ndiyo MUNGU
atapendezwa naye.
Warumi
14:11&18 ‘’Kwa kuwa yeye amtumikiaye Kristo katika mambo hayo humpendeza
Mungu, tena hukubaliwa na wanadamu. Mkiwezeshwa kwa uwezo wote, kwa kadiri ya
nguvu ya utukufu wake, mpate kuwa na saburi ya kila namna na uvumilivu pamoja
na furaha’’
MATENDO
YENYEWE NI:-
1}KUJUA MAPENZI YA MUNGU
Watu
wengi tunashinddwwa kumpendeza MUNGU maana hatujui mapenzi yake wala ya mwanaye
aliyemtuma. Maana mapenzi ya KRISTO ni kufa msalabani ili kila mtu aokolewa
kupitia yeye. Naomba uelewe kitu kimoja kwamba MUNGU alichofanya msalabani ni
kujitoa kwa kila mtu kupitia roho wake ili kila mmoja amjue yeye katika kweli
yote na kumtii yeye kama bwana na mfalme wake. Basi hakikisha unajengwa katika
imani moja roho mmoja na ubatizo mmoja. Ili mapenzi ya MUNGU YATIMIZWE NDANI
YAKO. WARUMI 11:6
Lakini pasipo imani haiwezekani kumpendeza; kwa maana mtu
amwendeaye Mungu lazima aamini kwamba yeye yuko, na kwamba huwapa thawabu wale Na wala MUNGU hawezi kukuacha maana siku zote
atakuwa pamoja nawe
yohana
8:29 Naye aliyenipeleka yu pamoja nami, hakuniacha peke yangu; kwa sababu
nafanya sikuzote yale yampendezayo.
2} KUYATENDA MAPENZI YA MUNGU
Baada
ya kuyajua maenzi ya MUNGU BABA kinachofuata ni ukamilifu wa imani ndani ya kristo.
Ili kuikamilisha imani inatakiwa kuanza kuyatenda maenzi ya mungu maana imani
bila matendo imekufa. James
2:26 Maana kama vile mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo
matendo imekufa. Kingine ni ibaada katika roho na kweli Hebrews 12:28 Basi kwa kuwa tunapokea ufalme usioweza
kutetemeshwa, na mwe na neema, ambayo kwa hiyo tumtolee Mungu ibada ya
kumpendeza, pamoja na unyenyekevu na kicho;
3} KUJIVIKA UTAKATIFU NA KUTENDA
MAAGIZO YOTE YA BIBLIA
Utakatifu
ni kama vazi kwa mkiristo yeyote ambaye anasafari ya kumuona MUNGU muumba
mbingu na nchi. Maana pasi na utakatifu imani si kitu wala dini zetu si kitu .
ndio maana watu wanaohubiri wengi husema dini haimpeleki mtu mbinguni wala
haikufanyi wewe umuone MUNGU bali dini ni kusanyiko la watakatifu ambao kwa
umoja wao kama ilivyo desturi hukutana ili kumtafuta MUNGU wa kweli na
kujifunza kwa umoja wao ili kufaidiana na kuzidisha upendo ndani yao. Lakini
kama huwezi kuwa kumtakatifu huwezi kumuona MUNGU. Wakolosai 2:10 mwenende kama ulivyo wajibu wenu kwa Bwana,
mkimpendeza kabisa; mkizaa matunda kwa kila kazi njema, na kuzidi katika
maarifa ya Mungu; 1Petro
1:15 bali kama yeye aliyewaita alivyo
mtakatifu, ninyi nanyi iweni watakatifu katika mwenendo wenu wote;
waebrania 12:14 Tafuteni kwa bidii kuwa
na amani na watu wote, na huo utakatifu, ambao hapana mtu atakayemwona Bwana
asipokuwa nao;
MATUNDA
YA KUTENDA YALE YAMPENDEZAYO MUNGU
- Kujibiwa maombi yako 1yohana 3:21-22 na lo lote tuombalo, twalipokea kwake, kwa kuwa twazishika amri zake, na kuyatenda yapendezayo machoni pake
- Kuwa mwana wa MUNGU kweli
- Kumuona MUNGU waebrania 12:14
- Kuwa rafiki na ndugu wa YESU KRISTO mathayo 12:47-50
- Kuwa mrithi wa ufalme wa mbingu tito 3:7
Mwandishi MICHAEL BASA 0765 279 698, +255 789 799 199
Alhamisi, 11 Agosti 2016
DHABIHU(sacrifice)
Defn
Nikitendo
cha kutoa kitu chenye thamani kubwa kwa tegemeo la kupata kitu chenye thamani
au umuhimu mkubwa kwako kama ishara ya ibada {Killing an animal or person and
offering to GOD or gods} kutoka 10:25, 1wafalme 11:8, zaburi 106:37. Pia katika
somo letu la
NGUVU ILIYOMO KWENYE MAOMBI kipengele cha SADAKAAU KAFARA UNAYOTOA KWENYE HUO ULIMWENGU. Tulitazama kwa upana hiki kipengele cha sadaka lakini kwenye
hili tutazama kwenye ulimwengu wa nuru tu.
Unaweza kulipitia kwanza hicho kipengele ili Kupata mwanga kwanini
tunatoa sadaka au dhabihu.
- Kwanini tunatoa dhabihu
- · Kumuabudu MUNGU
- · kutafuta amani na MUNGU kutoka 5:3,8:8 hesabu 7:19-25
- · Kuvunja nadhiri numbers 15:3
- · Kushukuru MUNGU 2nyakati 7:3&4,zaburi 50:14-23,zaburi56:12
- · Kama sadaka mbele za MUNGU
- · Kusafisha dhambi 1samuel 3:14 Zaburi 51:17
KUNA
AINA TATU ZA DHABIHU
- YENYE NGUVU:-Ni ile ambayo mtu anatoa kilicho bora kutoka kwenye vile alivyo navyo
- ILIYO SAFI:- Ni ile inayofuata sharia zote za biblia wakati wa kutoa dhabihu.
- ILIYO HAI:- ni ile dhabihu ambayo kwa unayotoa ajili kufanya kazi ya MUNGU;hii hubaki inakushuhudia siku zote za uhai wako.
JE
NI KWANINI LEO HATUTOI ZA DHABIHU ZA KUTEKETEZWA KAMA WANA WAISRAEL WALIVYOKUWA
WANAFANYA???
Kwasasa
hatutoi dhabihu kama wana waisrael walivyokuwa wanafanya ni kwasababu ya agano
jipya ambalo mwana wa adam alikuja kuliacha. waebrania
10:9-14,9:26
Je
kwasasa inatakiwa kutoa dhabihu za namna gani??
waebrania
13: 15 Basi, kwa njia yake yeye, na tumpe Mungu dhabihu ya sifa daima, yaani,
tunda la midomo iliungamayo jina lake.
1petro
2: 5 Ninyi nanyi, kama mawe yaliyo hai, mmejengwa mwe nyumba ya Roho, ukuhani
mtakatifu, mtoe dhabihu za roho, zinazokubaliwa na Mungu, kwa njia ya Yesu
Kristo.
Mwandishi MICHAEL BASA 0765 279 698, +255 789 799 199
Jumatatu, 8 Agosti 2016
NGUVU ILIYOMO KWENYE MAOMBI (..MWISHO)
![]() |
| BWANA ANAKUJA |
- Kujinyenyekeza
- Kuomba (somo letu)
- kutafuta uso wa BWANA (imeongelewa kwenye Muungano wako na huo ulimwengu kwa kilasiku.)
- kuziacha njia zao mbaya (imeongelewa lwenye Ushikaji wako wa maagizo ya huo ulimwengu.)
basi tuitazame pia kujinyenyekeza
inamaana ya kujishusha au kuiacha thamani yako na kuiona si kitu mbele za bwana
muumba wako. Ambayo inakuwa imejengwa na mambo matatu nayo ni:-
- kukubali kufundishika
- kutii
- kuwa na kicho(hofu)
hivi vitu vitatu mbele za bwana ni
muhimu sana na vyote huanzia rohoni na kufikia kuviona nje kwa mtu ni baada ya
moyo wake kuwa umejaa hivyo vitu nakuwa mmoja na vitu hivyoo ndio huyo mtu hata
matunda ya roho unaweza kuyaona kwa wepesi kwake. Nje ya hapo utajijua wewe tu
ukiwa unamtukia mungu bali watu wa nje hawawezi hata kulijua hilo. Hapa sizungumzii
walokole nazungumzia mtu mwenye safari ya kwenda mbinguni kwamaana YESU alileta
uzima wa milele ambao hakusema kuwa ni kuokoka bali ni kumjua MUNGU wa pekee na
yesu kristo mwanaye aliyemtuma yohana 17:3.
Na pia haiishi hapo inatakiwa
kujivika nila yake ili tuwe naye kweli lakini ili MUNGU asikuache inabidi kufanya
yale yampendezayo kwamaana nyingine ili udumu katika uso wa bwana mungu wetu
inabidi ufanye mda wote yampendezayo yeye. Ukisoma yohana 8:28-29 utakutana na
neno wakati wa kufundisha yesu anasema neno siyo la kwake bali la kufundishwa
na baba na akilisema au kulitenda naye baba anakuwepo mda wote naye ili
kulilinda neno aliloagiza lisemwe au litendwe kwa jina lake. Unaweza usielewe kwa
haraka lakini namaanisha mtazame YESU aliposema lolote muombalo kwa jina langu
hilo nitalifanya. Lakini siyo kila mtu akitumia jina la yesu, yesu atatenda
bali lazima uwe umeitwa kwa jina lake au umefanyika kuwa mwanafunzi wake . na
ili akuhesabu hivyoo ataangalia ushikaji wako wa maaagizo yake
. Hapo ndipo njia mbaya nazo
hutazamwa YESU aliweka kila kitu kiendacho kwa baba kipitie kwake yeye na
hakuna njia nyingine na kama ukitumia jina jingine kuomba kitu utakuwa unaomba kutoka kwa mungu
wa ulimwemgu huu wala siyo mungu wa mbinguni aliyeumba mbingu na nchi 2wakorintho
4:4. Basi ndugu na rafiki yangu achana na njia zako mbaya naye MUNGU atakusikia
na atakusamehe dhambi zako. Na ndipo macho yake yatafumbuka, na masikio yake yatasikiliza maombi yako
2nyakati 7:15&17.
Kingine ni hofu ya kutenda dhambi inatakiwa itawale ndani
yako maana utakuwa unaogopa kumkosea MUNGU na ndipo utaenenda vizuri. Na wala
siyo kuogopa waumini wenzio maana hukumu nao ipo juu yao. Kwamaana kwa sheria
wote tulihukumiwa kifo na mwanzo tulikuwa hapo wote. Bali ROHO alibatilisha kwa
kutuhuisha kutoka uharibifu mpaka kutoharibika ambako ndiko kuwa na uzima wa
milele. Basi pia tafuta kujazwa na ROHO WA MUNGU ndipo dhambi utaishinda na
wala siyo kwa kushika sheria. Maana ashikaye sheria huyo ni mtumwa wa hiyo
sheria bali sisi kwasasa ni watumwa wa YESU na malipo ni ROHO MTAKATIFU aletaye
uzima wa milele ndani yetu.
MWISHO
MWANDISHI: MICHAEL BASA 0765279698 au+255 789 799 199
Alhamisi, 4 Agosti 2016
NGUVU ILIYOMO KWENYE MAOMBI(..mwendelezo)
IMANI
YAKO JUU YA HUO ULIMWENGU.
Kila mtu anahitaji kuaminiwaau kuwafanya wengine
kuwa na imani juu yake. Inaweza kuwa juu ya jambo Fulani analo weza kulifanya
kwa usahihi. Watu huhitaji kuaminiwa na watu wanawaowazunguka ili:-
- Aweze kufanya kitu pasi na kuingiliwa kimaamuzi
- Amani ya kufanya kile anachowaza juu ya hao wamwaminio pasi na kuomba ruhusa.
- Kuwa na amani juu ya hao wamwaminio.
- Kuelezea kile alichofanya juu ya hao watu pasi na hofu ya kuwa inawezekana kukosea.
Mtu akiaminiwa anaweza kufanya vizuri kuliko
akifanya huku anahofia kukosea. Kwasababu mtu akiaminiwa huwa anatumia kipaji
chake cha ndani ambacho si rahisi kukiona bila kumpa nafasi na uhuru wa mawazo
hapo ndipo imani juu ya huyo inatakiwa kuonekana. Imani huanza kidogo kidogo na
baadaye hukua kutokana na matendo au faida anazopata kutoka kwa aamaniye.
Siyo ulimwengu wa nyama hata ulimwengu wa roho nao
uko vivyo hivyo ndiomaana ukisoma Luka 17:6 Bwana akasema, Kama mngekuwa na imani (trust
and confidence in GOD) kiasi cha chembe ya haradali, mngeuambia mkuyu (mulberry tree)
huu, Ng'oka, ukapandwe baharini, nao ungewatii. Hata MUNGU mwenyewe ili afanye
kazi kwako inatakiwa imani yako kumwelekea yeye iwepo na imani huwa haina shaka
(kusita-sita) ndani. waebrania 10:38 Lakini mwenye haki wangu ataishi kwa imani; Naye akisita-sita, roho
yangu haina furaha naye.
Kwa hiyo Imani ni hakika ya mambo
yatarajiwayo na nibayana ya mambo yasiyoonekana waebrania 11:1. imani hujengwa na mda
mwingine huharibiwa pia hubomolewa. Kwahiyo imani nikama kitu ambacho kinanguvu
juu ya mtu yuda 1:20 Bali ninyi, wapenzi, mkijijenga juu ya imani yenu iliyo takatifu
sana….
Iman Humjenga mtu kwa mitazamo, kiutendaji na kimazungumzo maana imani ya mtu
ndio huujaza moyo wa mtu na kiujazacho moyo ndicho mtu hukitoa au hukisema. yakobo 2:26 Maana kama vile
mwili pasipo roho umekufa, vivyo hivyo na imani pasipo matendo imekufa.
Imani hukua baada ya jambo ambalo lilikuwa ni tatizo kwa mtu/watu kutatuliwa
kwa mfano imani ya watu wa karibu na YESU ilikuwa baada ya watu kumuona
anatatua matatizo yao yanayowazunguka mfano. Kutoa pepo, kuponywa wagonjwa na
kufufua wafu kwa kipindi hicho hakukuwa na watu wa kufanya hivyo. Ndiomaana mtu
anafikia kutaka neno tu kwa YESU kwamaana kwa imani yake alijua hata akisema neno
tu kitafanyika mathayo 15:25.
Ili imani ikue inahitaji kuanzishwa au kujengwa. Imani
hujengwa juu msingi nayo misingi ambayo imani imejengwa imetofautiana na ndizo
hutofautisha kuamini kwetu. Kwamaana kuna imani juu msingi ambao ni kristo,
waganga wa kienyeji, wachawi, mizimu, juu ya watu,juu ya kitu asichokijua.
Imani inaweza kupimwa ndio maana mtu husema imani yangu ni ndogo juu ya hiki
kitu.bas kama ndiyo hivyo bassi amini nami kuwa kipimo cha iamni kipo nacho ni
AMANI. Imani hujengwa juu ya misingi bali vifuatavyo huisimamisha na kuikuza
imani yako. Navyo ni elimu,mazingira, uzoefu juu ya jambo Fulani, utamaduni n.k
.
MWANDISHI: MICHAEL BASA 0765279698 au+255 789 799 199
Jumapili, 24 Julai 2016
NGUVU ILIYOMO KWENYE MAOMBI(..mwendelezo)
Kama tulivyokwisha
tazama kwenye MUUNGANO WAKO NA HUO ULIMWENGU KWA KILA SIKU tuliona kuna maagizo
ya kila ulimwengu ambayo yanaujenga huo ulimwengu na kwa mtu anayeutumikia
lazima ayashike hayo maagizo ili ukue katika huo ulimwengu unaotumika kwahiyo
mtu yeyote anayepewa masharti ya ulimwengu inapaswa ayashike bila kuyatafutia
sababu kwa ulimwengu wa ROHO maagizo yake yamegawanyka sehemu mbili nazo
ni ‘’ten bible commandments (sheria kumi
za MUNGU’’ and ‘’bible instructions(maagizo)’’ sheria kumi alipewa musa pale
mlima Sinai bali maagizo ya MUNGU yalikuja kwa mdomo wa nabii,kuhani na
waonyaji mbalimbali waliomo kwenye biblia. Maagizo yote yanakuja ili
kuikamilisha ile sheria iliyopewa musa ndio maana YESU hakuja kuitangua sheria
bali kuitimiliza sheria ya musa kwamaana nyingine hakuja kuifuta ile sheria
waliyoachiwa na musa bali kuielezea kwanini MUNGU BABA alitoa zile sharia kwa
kipindi kile na maana kamili ni nini na mambo yapi amabyo kwa mdomo wa
musa au yoshua au suleimani waliyapokea
bali sasa siyo maagizo tena ya kuyashika bali kwenda kwa jinsi mpya ambayo
mungu anaitazamia kwao Mathayo19:8 Akawaambia,
Musa, kwa sababu ya ugumu wa mioyo yenu, aliwapa ruhusa kuwaacha wake zenu;
lakini tangu mwanzo haikuwa hivi. Marko 10: 5-6 Yesu akawaambia, Kwa sababu ya
ugumu wa mioyo yenu aliwaandikia amri hii. Lakini tangu mwanzo wa kuumbwa
ulimwengu, aliwafanya mume na mke. Ukisoma utaona kuwa alichokuwa akikisema
yesu hakikuwa kwenye amri kumi bali ilikuwa ni ruhusa ya kumwacha mke. Bali
tokea mwanzo haikuwa hivyo bali kwa ugumu wa mioyo yenu ndio maana mkapewa hiyo
sheria. Hapa yesu anathibitisha kuwa kabisa kwa kipindi cha musa ilikuwa ni
halali. Bali sasa kwenye utimilifu wa sheria agizo ni kutoachana. Hapo ndio
unaweza sema kuwa sheria ya bwana haibadiliki na maagizo yake alikuja
kutimilizwa na yesu kristo kwa kumuacha ROHO mtakatifu kama chombo pekee cha
kukupa kile ambacho yesu hakukisema kwa kipindi hicho na baadhi ya mambo ambayo
MUNGU aliyatoa au kuyasema kwa ufupi. Unapoenda kwenye madhabahu ya MUNGU wako
maagizo yake anayaangalia kujua ukaribu wako nayeye. Chukuliana namimi huu
mfano kwenye biblia imeandikwa waziwazi kuwa kitu pekee cha kukufanya umuone
MUNGU ni utakatifu bali njia ya kumfikia MUNGU ni yesu kristo.n kwahapo hata
kama ukiwa na yesu kwa vipimo vyote kama huna utakatifu huwezi kumuona MUNGU
lakini pia ukiwa na utakatifu ukawa huna yesu wewe huwezi kumfikia MUNGU. Hiyo haipo
kwenye amri kumi bali ipo kwenye maagizo.
MWANDISHI: MICHAEL BASA 0765279698/ +255 789 799 199
Jumapili, 3 Julai 2016
NGUVU ILIYOMO KWENYE MAOMBI(..mwendelezo)
MUUNGANO WAKO NA HUO ULIMWENGU KWA
KILA SIKU.
Muungano wako na ulimwengu unaotumika
ni muhimu sana kama unataka maombi yako yajibiwe haraka. Maana kukaa kwa mda
mrefu huku ukiwa umeungwa kiroho (spiritually connected) bila kujali nini
kinakukabili kwenye ulimwengu wa nyama inamaana kubwa sana.
Hebu tazama tumekuwa wadhaifu kutii
baadhi ya sheria za kimungu kwasababu muda mrefu tunakuwa tumeungwa na
mihangaiko ya dunia hii. Malaika hawawezi kusumbuka kushika sheria za kimungu
kwasababu ni sehemu ya maisha yao. Kwa hiyo hawawezi kuuona ugumu maana
asilimia mia moja wako wameungwa na ulimwengu mwingine.
Mwanadamu mwili wake ni sehemu ya
dunia nao uko umeungwa na dunia, na hii ndiyo maana kama dunia ilivyo kinyume
na mapenzi ya mungu ndivyo ilivyo kwa mwili wa mwanadamu. Ndio maana unaoshwa
na kafara ili kuutoa kwenye maunganisho na dunia hii, na kuunga na ulimwengu
mwingine wa kiroho.
Tazama yesu msalabani alifanyika kafara
kwa ajili ya dhambi ikaliayo mwili wako
na kuielemea roho yako kushika maagizo ya mungu muumba wako. Kama ukisoma
kwenye UTATU WA MWANADAMU utaelewa zaidi ninachokisema hapa kwa ufupi.
Ukisoma kwenye biblia YESU alimwambia
mtu mmoja kuwa ukitaka kunifuata jikane kwanza mwenyewe kisha unifuate. Kwamaana
nyingine achana na mahangaiko ya dunia hii kisha ujitoe kwaajili ya BWANA MUNGU
WAKO. Maana bila kukataa kuwa na mawazo
mengine (double minded, spiritually you will never grow to extent that the Holy
Ghost needs you to reach). Kiroho hauwezi kukua sana kwa kiwango ambacho ROHO MTAKATIFU
anataka wewe ufikie .
Basi kama ndiyo hivyo tunatakiwa
kupenda kuwa mbele za mungu wetu muda wote. Maana kuwa mbele za Bwana au kukaa
kwenye madhabahu yake kwa muda mrefu unakuwa umeunganishwa kiroho na madhabahu
ile na akili yako, roho yako na mwili wako kwa umoja wao vinakuwa mbele za Bwana.
Hii ndiyo njia ya kuomba mbele ya Bwana inayotakiwa kama ilivyoandikwa kwenye
mathayo 22:37.
Mwili unapaswa kunyenyekea mbele za
BWANA, maana unakuwa unaonesha ishara ya utii kwenye mamlaka nyingine. Pia ni
niya ya kuonesha utii wa kiroho, kwa maana ya kupondeka kwa roho huhesabika kwa
matendo ya mwili isaya 66:2.
Basi kama ndivyo hivyo mwili wako
ulio hekalu la ROHO na utiishwe chini ya madhabahu ya BWANA kama ROHO mwenyewe
alivyoutiisha mwili wa KRISTO; hata mauti na ndipo wokovu ukaja. Hivyo hata
kwako fanya nawewe utaona kama neema za bwana hazitakuzukia.
Roho yatakiwa kushika au kukumbuka
maagizo na kulia mbele za bwana huku ukijitahidi sana kuufanya mwili ushike sheria
za Bwana muda wote. Na nafsi yako na ijae mamlaka ya Bwana Mungu juu ya mwili
wako. Na bwana wa mbinguni atakuwa nawe wala hatakuacha kama alivyokuwa na
mtumishi wake YESU KRISTO.
Wiki ijayo tutaangalie moja kati ya zile zilizosalia. MUNGU muumba mbingu na nchi akubariki sana
Mwandishi: MICHAEL BASA 0765 279 698 , +255 789 799 199
Jumapili, 26 Juni 2016
NGUVU ILIYOMO KWENYE MAOMBI(..mwendelezo)
MWENENDO WAKO KATIKA HUO ULIMWENGU UNAOPELEKA MAOMBI YAKO.
Kila ufalme unajengwa
kwa mila desturi ,masharti na sheria ili uweze kusimama. Ulimwengu wa giza una-miiko
yake, pia na ulimwengu wa nuru pia una-miiko yake katika ufanyaji kazi na hivyo
ndivyo ulivyojengwa. Ili uenende kwenye ulimwengu kuna masharti ya kiujumla au
sharia, na pia kuna masharti ya jamii moja na jamii nyingine.
Mfano jamii ya waganga
wa kienyeji iko tofauti na jamii ya wachawi ingawa ni wamoja. Lakini kazi zao
zinawafanya wawe tofauti kimiiko ya kiutendaji. Vivyo hivyo mitume na waalim na
wao pia wanamiiko ya kiutendaji, haimaniishi kuwa kazi zake mtume haziwezi
kufanana na mwalimu au mchawi hawezi kufanana na mganga, hapana hata kidogo.
Kwa maana ufanano wa
kazi unajengwa na nguvu inayoshuka kwenye madhabahu wanayotumia kwenye maombi.
Wasipoweka miiko huo ufalme utafitinika. Kama ilivyoandikwa “Kila ufalme
ukifitinika juu ya nafsi yake, hufanyika ukiwa; tena mji au nyumba yo yote
ikifitinika juu ya nafsi yake, haitasimama. Na Shetani akimtoa Shetani, amefitinika
juu ya nafsi yake; basi ufalme wake utasimamaje?” (mathayo12: 24-27).
Kwahiyo ili uwe na
nguvu kwenye ulimwengu wa roho inatakiwa kushika vizuri masharti ya huo ufalme
unaotumika. Mfano ulimwengu wa NURU
ukitumia madhabahu ya walokole unakuta kuna kunena kwa lugha. Mtu
anayenena kwa lugha hawezi kufanana kwa nguvu wakati wa kuomba na ambaye
haneni kwa lugha.
Au mfano mwingine
mchawi hapandi cheo pasi na kuvuka baadhi ya mitihani na pia kuna vyeo kupewa
kwenye ulimwengu wa giza mpaka uwe wamekuamini sana. Halikadhallika na kwenye
taasisi zetu za kawaida kwenye ulimwengu wa nyama kawaida.
Kwa ulimwengu wa nuru kwenye
madhabahu ya wakristo sheria ziko wazi kwenye biblia na msharti yako ndani pia.
Ukitaka uwe na nguvu zaidi mda wa kuomba inatakiwa uombe mda mrefu tena kwa
mpangilio na siyo kuomba tu. Pia omba kwa kunukuu vifungu vya biblia kwenye
aina ya maombi yako kama tulivyokishwa jifunza kwenye CHRISTIAN CULTURE.
kwa maana kutoka kwenye
utangulizi wa hili somo tuliona kwamba kuna prayers na requests sasa
unapopeleka “requests” hakikisha ziko kwenye mpangilio(definite) ili zikubaliwe
la sivyo utakuwa unapayuka(speaking in vain). Soma AMPLIFIED BIBLE philipians
4:6 na mathew 6:7
Pia inatakiwa uache
uovu wote, kama ilivyoandikwa “Kila
alitajaye jina la Bwana na auache uovu” (2Timotheo 2:19). Kwamaana uovu hautakiwi
kutajwa kwako waefeso 5:3 Lakini uasherati usitajwe kwenu kamwe, wala uchafu wo
wote wa kutamani, kama iwastahilivyo watakatifu;. Pia anza kufanya kazi ya
MUNGU(JEHOVA YIRE). Kama tulivyokwisha ona kwenye MILANGO YA KUVUKA KABLA HUJAFA.
Hapo ndipo nguvu zako
na mwenendo wako kwenye huu ulimwengu
utakapokubaliwa na kuwa mwenye nguvu na maombi yako ndivyo yatakavyokuwa
yanajibiwa upesi zaidi. Maana “tangu siku za Yohana Mbatizaji hata sasa ufalme
wa mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wauteka”( mathayo11:12).
Wiki ijayo tutaangalie moja kati ya zile
zilizosalia. MUNGU muumba mbingu na nchi akubariki sana
Mwandishi: MICHAEL BASA 0765 279 698 , +255 789 799 199











